NJOO... MAMA HAYUPO BOOK 1 EPISODI 07

RUDI NYUMA EPISODI YA 06

“hapana , siwezi kuingia kwenye hilo tundu , kwanza hata siwezi kutosha.”
Aliongea shadrack huku akiliangalia sink la choo.
“dirishani wewe mjinga , nani kasema unaingia kwenye tundu la choo?”
Aliongea anie huku akimuanganalia shadrack usoni .
“ooh, sawa, sijui kwa nini sikufikiria hilo.”
Aliongea shadrack  na kushusha pumzi mara baada ya kuliona dirisha hilo,dogo lililokuwa juu kabisa ya choo hicho.
Anie alipanda kwenye sink na kisha kukivuta chuma kilichokuwa kina zuia dirisha hilo kama vile  kimechomelewa , kumbe yeye alishatoa kile kilichochomelewa na kuegesha cha kwake kinachofanana na kile, hiyo ilikuwa njia yake ya usiku akitaka kutoka zake kwenda viwanja ambavyo mama yake alimkataza kwenda.
“haraka, sitaki waingie humu na kukuta , nataka mlango wangu wa siri ubaki kuwa siri.”
Aliongea anie na shadrack haraka alipanda juu ya sinki hilo na kurukia kwa nje .
“kwa heri , nitakupigia.”
Aliongea anie.
“lakini huna namba yangu.”
“Najua mahali pa kuipata .”
Aliongea kauli hiyo ambayo ilimshangaza shadrack, lakini hakuwa na muda wa kushangaa zaidi  kwa muda huo kitu pelkee alichokuwa anatakiwa kufanya ni kutimua mbio kabla mama mwenye nyumba na mfanya kazi wake hawajajua kwamba tayari amesha toka humo.
Jambo zuri ni kwamba alikuwa ameshalipwa mapema , kwa hiyo hakuwa na lolote la kuhofia kulipoteza kutoka kwao, labda mashtaka tu kwa supervisor wake  na huwa mara nyingi anaishia kumsema tu sababu kazi za nje huwa hazihusinai na zile za ofisini  japo wateja hawalitambui hilo.
****
Alipotoka mitaa hiyo ya ushuani shadrack alipitiliza moja kwa moja mtaani kwao , japo bado iikuwa mapema. ilikuwa sio kawaida yake kurudi uswazi mida hiyo, mara nyingi alikuwa anarudi usiku hata kama mjini hana kazi kelele za uswazi pamoja na joto kali vyote hivyo vilikuwa vitu ambavyo alikuwa anataka kuvikwepa,   ni heri azuge zuge tu mjini na kupigwa na  kiyoyozi cha ofisini , akipiga stori na washkaji pamoja na kuleta shobo kwa wateja ili angalau apate tipu, na kweli alikuwa anazigonga hela zao , vikazi viogo vidogo zilivyojitokeza hapo kila mtu alikuwa kimuita yeye.
Aliposhuka kwenye dala dala alianza kuikata mitaa ya huko uswazi kwao, vumbi lilikuwa linatimuliwa na boda boda pamoja na bajaji zilizokuwa zikakatisha kwa fujo. maduka yaliyokuwa pembezoni mwa bara bara hiyo nayo yalikuwa yakipiga muziki kwa fujo, hapa utasikia mnanda pale mchiriku, mara taarabu  na rozi muhando humo humo na wimbo wake wa nibebe.
Shadrack alipita pembeni ya bara bara hiyo kuzikwepa piki piki ambazo nazo zilikuwa zikipiga muziki kwa fujo kwa kweli ilikuwa balaa.
“Ndio maana nakuchukia kitaa , vurugu tupu  bora tu ningetulia zangu ushuani , kudadeki walai.”
Alilaani shadrack na kuamua kuchepukia  kwenye kichochoro ili kukwepa kero hizo , na huko nako ndio kama vile alikuwa anaruka majivu na kukanyaga moto.
Mtaa huu alikuta bonge la ugomvi kati ya wake wenza, chanzo kilikuwa mume wao, alidanganya amesafiri kwenda mkoani kikazi, kumbe bi.mdogo amemfungia ndani na sasa bi.mkubwa kafanya uchunguzi wake na kuwafuma wakibebana kama watoto kupelekana bafuni kuoga.
“kumamako leo nasema mtanitambua  wasenge nyie , nimewaruhusu kuona, mkafanya animuni na ushenzi mwingine wote   lakini mnaona haitoshi mpaka mnanidhurumu zamu zangu , mnataka mimi nikatombwe wapi kumamae zenu, eeeh nikatombwe wapi nauliza?”
Alipiga kelele bi.mkumbwa, mwanaume pamoja na bi.mdogo hawakuonyesha kujali wala nini.
“si jitie vidole hii, kwani lazima mboo.”
Aliongea bi.mdogo  kwa jeuri na hapo hapo bi.mkubwa alimvaa na kukukuruka nae kwenye uwanja wa nyumba hiyo, wapambe pembeni walishangilia  ile kinazi.
Shadrack alipitiliza zake na kuacha ujinga huo uendelee  na kukatisha kichochoro kingine huko sasa ndio ailibidi azibe pua, ilikuwa harufu mbaya ya mkonjo, wa walevi  mixa kinyesi , aliruka ruka kukwepa na hatimaye akaibukia kwenye kirabu cha pombe za kienyeji  na hapo alikuta walevi wakipiga mitungi huku wakicheza muziki kwa zunguka duara, wanawake japo walikuwa wamama watu wazima lakini vituko walivyokuwa wanavifanya hapo ilikuwa hatari tupu.

Kuna waliojifunua funua khanga zao na  kuacha matako yao wazi ili wale walevi  wa kiume wayashike shike na kuyaminya watakavyo , walikuwa wakiyatikisa matako hayo kwa staili ya kuyabenua benua hivi  na kugonga gonga mapaja ya wanaume waliokuwa wakicheza nyuma yao wakiwa wamejibana kwa ziro distensi, mboo zao zilizokuwa zimedinda ile kisenghe zilikuwa zikijigonga gonga kwenye matako hayo kwa vurugu kinoma, muziki uliwanogea walinyanyua mikono juu na kushagilia .

ENDELEA MBELE EPISODI YA 08

No comments:

Post a Comment